Nawezaje kukabili maumivu yanayohusiana na tembe za kutoa mimba?

Ibuprofen ipo ukitaka kununua katika nchi nyingi, na hii ni dawa iliyopendekezwa kutumia kwa ajili ya maumivu na msokoto. Unaweza kutumia tembe 3-4 (200mg) za ibuprofen kila saa 6-8 kwa maumivu.

Tylenol pia inaweza kutumika, tembe 2 (325mg ya tembe) kila saa 4-6 kwa maumivu. Visodo vya kuleta joto au kupapasa sehemu ya chini ya tumbo (tumbo la uzazi) inaweza pia kusaidia kwa maumivu.

TAZAMA MASWALI ZAIDI

*Hakuna kinachotolewa hapa kinapaswa kudhaniwa kuwa ushauri wa kitaalam na hakuna dawa / tembe zinazopaswa kutumiwa bila agizo kutoka kwa mtaalamu aliye na leseni / aliye sajiliwa anayestahili kuagiza dawa hiyo katika mamlaka yako ya karibu.