Maswali yanayoulizwa mara kwa mara
Kutumia Tembe za Kutoa Mimba FAQs
- Ninaathiriwa na NSAIDs (dawa zisizo na steroid zinazozuia mwili kutumia mbinu za kibaolojia kujikinga) ikimuisha
 - Nawezaje kukabili maumivu yanayohusiana na tembe za kutoa mimba?
 - Je kama nitatokwa damu zaidi baada ya kutumia tembe za kutoaa mimba?
 - Wanawake kwa kawaida hutokwa damu baada ya kutumia dawa za kutoa mimba?
 - Nitatokwa damu kwa muda upi baada ya kutumia tembe za kutoa mimba?
 - Naweza kunywa pombe wakati wa utaratibu wa utabibu wa kutoa mimba?
 - Naweza kumeza tembe za kutoa mimba?
 - Naweza kutumia tembe za kutoa mimba kupitia uke
 - Naweza kutumia Misoprostol iliyo na Diclofenac
 - Naweza kula wakati wa utaratibu wa kutoa mimba kwa tembe?
 - Nahitaji kutumia dawa za kuzuia maambukizi ya bakteria wakati wa kutoa mimba?
 - Wahudumu wa afya wanaweza kujua kuwa ninatoa mimba?