Utoaji wa mimba ya upasuaji ni nini?

Utoaji wa mimba ya upasuaji ni utaratibu ambao ujauzito huondolewa kutoka kwa mfuko wa uzazi na mhudumu wa afya aliyehitimu [1]

[1] “Safe abortion: technical and policy guidance for health systems.” World Health Organization, second edition, 2012, www.who.int/reproductivehealth/publications/unsafe_abortion/9789241548434/en/. Accesed November 2020.

TAZAMA MASWALI ZAIDI

*Nothing provided herein should be construed as professional medical advice and no medication / pills should be used without a prescription from a licensed / registered medical practitioner eligible to prescribe such medication in your local jurisdiction.