Je! Ni Aina zipi Tofauti za Taratibu za Kutoa Mimba ya Upasuaji?

Kuna njia mbili kuu salama za utoaji katika kliniki: utoaji mimba wa kufyonza, ambao hujulikana zaidi kama Njia ya kunyonya au kufyonza (MVA) na Njia ya upanuaji na ukwanguaji (D&E). Ufikiaji wa hizi njia unategemea umri wa ujauzito, eneo lako la kijiografia, upatikanaji wa vifaa, dalili za mtoa huduma, na upendeleo wa kibinafsi [1].

[1] “Safe abortion: technical and policy guidance for health systems.” World Health Organization, second edition, 2012, www.who.int/reproductivehealth/publications/unsafe_abortion/9789241548434/en/. Accesed November 2020.

TAZAMA MASWALI ZAIDI

*Nothing provided herein should be construed as professional medical advice and no medication / pills should be used without a prescription from a licensed / registered medical practitioner eligible to prescribe such medication in your local jurisdiction.