Tembe za kutoa mimba zinaweza kusababisha kasoro za kuzaliwa kwa mtoto nitakayempata siku za usoni?

Kutumia Mifepristone na Misoprostol kutamatisha mimba ya sasa haitakuwa na athari au kusababisha kasoro za kuzaliwa kwa mimba [1] ya siku za usoni. Tembe zote za kutoa mimba (Mifepristone na Misoprostol) hutolewa haraka mwilini, hivyo hazina athari yoyote kwa uwezo wa mtu kuwa mja mzito siku za usoni.

[1] Women on Web. What are the chances that the fetus will be malformed if you have an ongoing pregnancy? Retrieved from: https://www.womenonweb.org/en/page/478/what-are-the-chances-that-the-fetus-will-be-malformed-if-you-have-an-ongoing-p

Kabla ya kumeza tembe ya kutoa mimba FAQs

TAZAMA MASWALI ZAIDI

*Hakuna kinachotolewa hapa kinapaswa kudhaniwa kuwa ushauri wa kitaalam na hakuna dawa / tembe zinazopaswa kutumiwa bila agizo kutoka kwa mtaalamu aliye na leseni / aliye sajiliwa anayestahili kuagiza dawa hiyo katika mamlaka yako ya karibu.