Nina anemia, naweza kumeza tembe za kutoa mimba?

Ikiwa una anemia na dalili za sasa za uweupe kichwani, usingizi, pumzi fupi au uchovu inapendekezwa ushauri daktari kabla ya kumeza tembe za kutoa mimba. Ikiwa anemia yako haina dalili [1] iliyothibitiwa, ni sawa kutumia tembe za kutoa mimba.

[1] Gynuity. Providing medical abortion in low-resource settings An Introductory Guidebook. Second Edition. 2009. Retrieved from: https://gynuity.org/assets/resources/clinguide_maguide2nd_edition_en.pdf

Kabla ya kumeza tembe ya kutoa mimba FAQs

TAZAMA MASWALI ZAIDI

*Hakuna kinachotolewa hapa kinapaswa kudhaniwa kuwa ushauri wa kitaalam na hakuna dawa / tembe zinazopaswa kutumiwa bila agizo kutoka kwa mtaalamu aliye na leseni / aliye sajiliwa anayestahili kuagiza dawa hiyo katika mamlaka yako ya karibu.